Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu mechi ya monaco na liverpol ilikuwa na Penalty ?
Najua red card ilikuwa hamna.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Liverkusen tayari redcard huko lol !

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Dah naona penalty na redcard imekuwa wiki mbaya

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hahahaha huyu mzee ni mfanya biashara muoga, ameona bora hiyo hela anywee sumu kuliko kuizalisha!

Hahahaha toka last weekend napigwa na za uso tu, kujipanga muhimu otherwise hata lunch money ya shule ya mtoto wangu ntaidokoa nianze kuwekeza
 
Hahahaha toka last weekend napigwa na za uso tu, kujipanga muhimu otherwise hata lunch money ya shule ya mtoto wangu ntaidokoa nianze kuwekeza

hahahaaa ni kweli mzee mwenzangu, jipange urudi tummalize huyu mtu aiseee!!
 
Duh the war is bitter now. All the soldiers are almost retreating
 
Ila bado napumua katika red card
Namuhofia atletico tuu hapa
 
Daah majanga ufaransa kimenuka red card dah nahamia kwenye kona na yellow card now

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…