Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wee acha tu yani hapa namsubiria barca tu ila naona leo kaingia choo cha watoto lazima akalie pot!

leo PSG wamekaza kweli kweli..,, lakini kikosi chao pia kimekamilika mbaya!
Barca hawana suarez=PSG hawana Ibrahimovic
 
mi nshamaliza biashara kwa leo gg
duh leo kweli gg zimetokea sana, wale wa final win leo chali !

machale yalinicheza manake sikupiga mkeka wa final win!

wa uhakika hawa nao wamezingua!
aberden 2 - 2 mirren kazingua,
middlesbrogh 1-1 blackpool kazingua,
athletic leo naye kachapwa, norwich kachapwa !
 
england championship league timu peke yenye consitence ya kushinda ni derby county pekee, hawa wengine akina norwich, notigham forest ni wababaishaji, i bet mwakani lazima atinge premier league...!!!
 
Wazee wa mikeka
Leo weka
Aberdee win
Middledlesbrough win
Atl. Bilbao win
Barcelona win
Derby win
Chelsea win
Bayern win
Man cty win

For your own risk. Pia mzgo mrefu upate nying

Umeingiza machakani wenzio
 
Umeingiza machakani wenzio

hapana mkuu tusikatishane tamaa kuwekeana mikeka humu, ni bahati mbaya tu but mkeka ulikuwa mzuri!

aberdeen kushinda ilikuwa ni lazima, athletic bilbao naye uwezekano wa kushinda ulikuwepo club ya spain vs club ya belarus nani utampa ashinde?!! ni bahati mbaya tu
 
mitimu ya championship inatia hasira kinoma....yani uefa kote nimepeta na no red cad pamoja na GG...middlesbroug na norwich hovyo sanaaa
 
Jana wamefilisi Meridian. Sasa bye bye meridian. Ngoja tuhamie pengine. Mtandao unakuwa slow sana hadi kero
 
Ukiwa unahitaji msaada wowote kwenye kubet wasiliana
na professor Makampuni, mtaalamu wa kubet namba yake
ni 0755 520 584
 
Unamjua Makampuni mkuu?

naona mnatengeneza chezo la kuwatapeli watu, naona karibia mtu atapelekewa chemba ataambiwa atume tigo pesa.mpesa apewe timu za kushinda. naona mtu akilizwa na mwingine tena akilizwa. wanajamvi kuweni makini ni wengi wametapeliwa mitandaoni kudanganywa kupewa timu za ushindi.

wanajamvi kubet hakuna uchawi ni makisio sahihi tu ya timu za kushinda, kisia sahihi fuatilia hizo timu kwa ukaribu, weka bet yako. jitahidi kukisia kwa umakini ila usikosee, unaweza kuliwa kwa bahati mbaya na inakubalika , lakini sio uliwe kwa kukosea kubet timu.

kama huyo makampuni ni professa aweke timu 3 kila siku mfululizo kwa siku 5 humu jamvini na tuone uprofessa wake, na aweke kabla hazijacheza si baada ya kucheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…