Dragondreamx
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 564
- 215
Woiiii nimewapa 5000 point 3.6 siwez ziacha......
Siwez kubali kukosa ela ya kwenda lunch kupiga biriani fruits na juicy
Anzhi kashatupia kitu!
Huyu jamaa dragondreamx sijui mchawi.
Huyu jamaa dragondreamx sijui mchawi.
hhahaaa jamaa atakuwa mchawi lbd, tips ya france aw2 ilikubali, tips ya brazili aw2 ilikubali, uzbekistan naye alitengeneza aw2 na odd zilkuwa kubwa kweli, anzi dio huyoo anatengeneza aw2
Leo kuna
rijieka
Videoton
Goyr
Nk wapo kazin kukupati hela kiulaini........
Naaanza na game ya anzhi saa nne asubuhi
Mkuu hii game ya gabon unaionaje.?
Kamali ni kamali tu, jana na leo nimepigwa za mbavu kwenye Basketball baada ya kujaribu kucheza over na under quarter wise!
Unaweza kuona jinsi hela zilivyonitoka, game ya kwanza q4 nikaweka under 38.5, ikabuma! Tena ni quarter pekee iliyoenda over 40 (zilizobaki zilikuwa na 29, 33 na 37).
Game ya chini hapo nimezungushia q3 nilicheza over 36.5, imagine quarter ikaisha kwa 36 tu, huku quarter zingine zote zilienda 44 na zaidi.
View attachment 193536
ni kweli hakuna betting ambayo ni nyepesi au ngumu, zote ni sawa tu. unaweza ukaiona rahisi ukaiweka ukapigwa tu, unaweza iona ngumu nayo ukala kiulaini. cheza bett unayoamini akili na moyo wako kweli itakwenda kama unavyoona wewe, amini moyo wako na thiking zako.
Guuuuud😎😎😎😎
Anzhi goaaaaaaaaaaal 2-1 now
Mkuu naona unajiandaa kwenda kula biriani na juice