Cheki jamaa alivyojitosa na kutusua kaweka ela ya kirus hyo 1m rub ni kama 40m za kibongo hafu kavuna 1780000 rub sawa na 71m za kibongo hapo ni kwamba aliweka game ya Psg vs Barcelona na kusema Barca atafunga goli zaid ya 1 na game ya Chelsea vs sporting kuwa chelsea watafunga gol zaid ya 1 ndo imekataa kwahyo wameitoa ndo maana ikapunguza odds na mwisho akasema porto atafunga gol alivyocheza na shakter
View attachment 193539
Nakaribia tangaza Hali ya Hatari kama leo sitashinda.
Jamani eeeh toka Ntherlands amechukua hela yangu sijaweza rudisha hata 100
Nakaribia tangaza Hali ya Hatari kama leo sitashinda.
Jamani eeeh toka Ntherlands amechukua hela yangu sijaweza rudisha hata 100
CEO umeona habari ya Ronaldo! By the way nilifata ushauri wako sikuweka kitu ila jamaa kapiga goli dkk za majeruhi.
lakini si umeona game ilivokua ngumu? Yani ningeweka mzigo presha ingekua kubwa sana
mkuu mpunga upo leo league cup ya Hungary,
Mkuu wewe kisovieti kinapanda.?
hawajakosea, congo wazuri ndio waliompiga naijaria 2-3 tena naijaria akiwa nyumbani, nimeshngaa juzi walivvyopigwa 0-2 na south africa, kwahiyo congo wanaweza chafua hali ya hewa muda wowote.Hivi premium beting wamekosea au ndo kweli? Eti wamempa south 2.58 tena yupo home
Dah ngoja nikaangalie vinginevyo sijui
Nilichoipendea bet365 ni kuwa unaweza chukua hela mechi ikiwa yaendelea cheza. Maana kuna timu huwa zaua mikeka mwishoni kabisa. Hii system ndo nitakuwa naitumia kwa mikeka mirefu
Hii ya kuchukua pesa mapema iko vipi?
Yaani ni hivi. Ukiweka mkeka kadri muda unavyosonga wanakuwa wanakuwekea kiasi unachoweza toa mfano
Una game tatu na return ni 67 $ at full time. Hizo game kadri zinavyoendelea unakuta cash out wamekuandikia ambayo huwa chini ya return at ft.
Mimi nimewahi toa sababu timu za japan hazichelewi kumwaga unga so badala ya 6.8$ nikapata 5.43$ dakika ya 88.
Nimekuja muangalia videoton game ya leo sio nyepesi
Gyro nayeye game yake presha tupu.....
Mbona mie sina acc crdb.Inamaana mkuu hapo tu toka jana ushafungua account ya crdb na ushadipost mpungu huko bet360?