Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Hahahaa pole sana mkuu, leo Nacional,fiorentina,psg na fulham uhakika.
Wadau mimi najitoa muhanga na mkeka wa Fulham, Udinise na Psg mzigo 5000 natoka na 30.
udinese anatoa droo bora umtoe kwenye list.
Leo vittese na baclesifield tu nipate mtaji wa kesho nimpe madrid,roma.barca na porto.
washakalia mbili na wapo nyumbani nawacheki hapa sentanta ahali yao mbaya hakuna matumaini hapo.
Lets Pray mimi nsihamuweka sijuhi source zako lakini mimi source zangu karibia tano mshindi ni udenese kama unatumia laptop nikupe link la madesa.
dah nimetoak kapa hapa
Paok,Panthrakikos,Napoli,twente,psv,atromitos.
Nachofanya sasa hvI ni team 2 za uhakika kila siku , ikifika weekend nna 100-150 tosha kabisa, mtaji narudisha kwenye bank hehehe
Weka hiyo link hapa tufaidi wote mkuu.