Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Leo vittese na baclesifield tu nipate mtaji wa kesho nimpe madrid,roma.barca na porto.
 
fulham hawaaminiki kabisaaaa, acha nilale zangu
 
Paok,Panthrakikos,Napoli,twente,psv,atromitos.
 
Nachofanya sasa hvI ni team 2 za uhakika kila siku , ikifika weekend nna €100-150 tosha kabisa, mtaji narudisha kwenye bank hehehe
 
Nachofanya sasa hvI ni team 2 za uhakika kila siku , ikifika weekend nna €100-150 tosha kabisa, mtaji narudisha kwenye bank hehehe

Hata mimi ningefanya hivyo, tatizo mtaji.
 
Weka hiyo link hapa tufaidi wote mkuu.

Hii hapa Ndugu hope, ila kumbuka hii sio final ni mawazo yao tu, so chamuhimu ya kuambiwa changanya na za kwako.

kwaleo ni hii Football predictions for 2014-02-05 - Free pro soccer predictions - Prosoccer



SCREEN SHORT YA HII KWA LEO NI HII

attachment.php
oddd.jpg
 
Back
Top Bottom