Dragondreamx
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 564
- 215
Juve ni sheeda !
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
usijaribu kuiua timu ya ugiriki au ujerumani ikiwa nyumbani, atletco madrid alipigwa 3-2 na hao wadudu, nilijua juve kutoka ni kazi. halafu watu sijui hamkuiona borussia dortmund, dortumund nyumbani yupo vibaya lakini ni hataree kwa uefa champions leaugue.Sijui hata nimetokanao wapi....
Jamani nambieni hapa
Anderlecht v Arsenal 2
Liverpool v RMadrid 2
Olypiacos v juventus 2
Galatasary v dortmund 2
Nani hafai hapo
basel ashanichania mkeka na red card....ngoja nicheze live meridian
Naona kama naanza upya vile hawa kcb hawajatupia hela yangu toka nimeitoa bet365
mkuu uliitoa lini Bet365.?
Jumatatu ndo nimetoa
Jumatatu ndo nimetoa
Duh, umecommunicate na bet365 through live chat.? Au tatizo lipo bank.!
Dah! Mzee mwenzangu hiyo inaua bendi, Jumatatu mpaka Alhamis?