Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
-
- #6,361
mazeee kikapu ni simple mnooo over or under..... na hizi nilibet before game hazijaanza.....nanilijichanganya kwa memphiz..... hajawahi katika game zao 5 h2h ni moja tundio aliwahi kuvuka 180....zingine zooote ni 175 178 179....nkasemaaa aarh leo atavuka ..***** kaniua peke yake nipo ofsini hapa nacheki mkeka hooooi.....nimejilaumu kimbwa.... View attachment 198972
mazeee kikapu ni simple mnooo over or under..... na hizi nilibet before game hazijaanza.....nanilijichanganya kwa memphiz..... hajawahi katika game zao 5 h2h ni moja tundio aliwahi kuvuka 180....zingine zooote ni 175 178 179....nkasemaaa aarh leo atavuka ..***** kaniua peke yake nipo ofsini hapa nacheki mkeka hooooi.....nimejilaumu kimbwa.... View attachment 198972
huu niliweka baada ya kuvurugwa hivi kwenye soka...... nikasema kuna wataalamu humu wa kikapu niutupie ...hata huu wa soka niliutupia ..... net ikagoma .... mara nyingi mkeka nikiuamini narusha .... View attachment 198980
ndio bet yangu ya kwanza kikapu.... tangu machama yangu yazingu LA lakers na chicago ...yaani NBA imenikaa kushoto sifatilii kiviiile.... sasa nahamia huku rasmi mzee..... kama vp inaonekana kikapu recently unakifatilia vizuri.....ntakuwa natupia humu kama kawa ...mechi nyeusi una ni alert tu....
Jamani kwenye basket mtu unakujaje kama hata timu sizijui maake football mizenguo tu naombeni msaada wajemeniSafiii....leo ntajarib....kama utatupia mkuu hebu rusha humu basi tudiscuss....ungeweka humu mapema watu wangekushaur
Jamani kwenye basket mtu unakujaje kama hata timu sizijui maake football mizenguo tu naombeni msaada wajemeni
home work hiyo hapo.... ila orleans over 191.5, bulls over 183.5, miami over 192.5, Bucks 191.5 over hawa hawajawekwa bado ila kimahesabu kama wanavuka flani.... waliowekwa mpaka sasa ni hao chini....haya sasa twende kaziView attachment 198990
Leo kuna championship, uefa yaani leo usipokula nenda kafunge account yako
Zenit
Real
Arsenal
Juve
Basel
Monaco
kimahesabu nimesharudisha 3000 ya jana hii game ipo live now.... wakaweka u/o 173.5 ...kimahesabu kila quarter inatakiwa kuwa na goli 43.5 ....quarter ya kwanza imeisha na wamefungana 19 kwa 13 (jumla 32 pungufu point 11.5) zoezi linakuwa gumu kwao sasa ili niliwe wanatakiwa kila quarter sasa wafungane 47.3View attachment 198997....
Leo kuna championship, uefa yaani leo usipokula nenda kafunge account yako
Zenit
Real
Arsenal
Juve
Basel
Monaco