Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hawa kasimpasa nao hasara 2pu now dayz. Walikua wapo juu sana hadi nafasi ya pili kwenye ligi yao sasahivi taratibu wanaenda down
 
Poa mkuu ngoja niitwange!..
QUOTE=Kibanga Ampiga Mkoloni;8630049]piga 0762768500[/QUOTE]
 
kwamaatzamo wangu an uchambuzi nilio ufanya kw amuda kama wa masaa 2 nikuwa mechi za uwakika leo ni:-

Kasmpas,Vitesse,rangers na Velez.
Mechi nyingine zisizo na uwakika mkubwa za ushindi ni Estuduante,espanyol,Momcherburg,Ettiene. Hizi cheza at ur own risk lakini kuna asilimia kama 60 za ushindi.

So Far Chali Kampas kachafua Mbaya na vitesse hakuna matumaini.
 
Leo voda anajihami ile mbayaa mechi mbili tuu result unknown
 
Back
Top Bottom