Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha nimpe Metz kwny waswas
hawa kasimpasa nao hasara 2pu now dayz. Walikua wapo juu sana hadi nafasi ya pili kwenye ligi yao sasahivi taratibu wanaenda down
kwamaatzamo wangu an uchambuzi nilio ufanya kw amuda kama wa masaa 2 nikuwa mechi za uwakika leo ni:-
Kasmpas,Vitesse,rangers na Velez.Mechi nyingine zisizo na uwakika mkubwa za ushindi ni Estuduante,espanyol,Momcherburg,Ettiene. Hizi cheza at ur own risk lakini kuna asilimia kama 60 za ushindi.
Kumekucha wadau!
nianze na za Uwakika kwa Premierleague:-
Mancity,Chelsea.
za mashaak na zenye hela mingi ni
Liver,Crystal,Aston,sunder, Soth,Swansea.
WORLD WIDE ZA UWAKIKA KWA LEO NI:-
Manchester City, Bayern Munchen,Burnley,Feyenoord,Wolverhampton,Atletico Madrid,Olympiakos Piraeus
Hizi unaweza ukacheza HANDCAP!
Nataka kuweka wa akiba liver v arsenal draw
Du! inawezekana ila watu wengi wanasema Liver inashinda, ila mimi kama mshabiki wa Arsenal tunashinda kwani liver kiungo na beki ni mbovu.
Ukiona hivyo watu washaumia.
Hujatoa mwingine?
Unamaanisha nini kutoa?