Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kwa kuwa nipo mkoa na natumia m bet pekee!Nakomaa na futball mwanzo mwenga,NATAMANI KULIPUKA WAKUU NA ZENIT,RMADRID,A MADRID&BENFICA!NAFSI INAWATAMAN SN KUWAUA LEVERKUSEN&MONACO.USHAURI PLZ
 
Washaniliza sana hawa na madogo wa Phillipines! Wanaanza kama wanatania, then unashangaa wanaweza fika hata 60 kwa quarter.
yaone sasa quarter ya 1 point32...ya pili 51.... ya tatu inaelekea kuisha wana 30.... nyambaaaf
 
Msaada wa ushauri wakuu nataka kujilipua na timu mbili kati ya hizi!Zenit,benfca,r madrid,a madrid&arsenal.
Cc andybird,mtoto wa nzi,xyz na wengineo.
 
Hapo mbona zimekaa poa sana

hofu kwa benfica na zenit.... leverkusen ana form na last game zenit alikaa bili leverkusen anaongoza kundi ili apite hii round hii game ni sensitive sana kwake akishinda anakuwa na pt 9 anatafuta sare moja anakuwa na kumi...zenit anabaki na 4 hata akishinda zilizo baki hamkuti leverkusen.... ila monaco na yeye sasa anajua kuzuia na mechi zake nyingi ni kama juve tu .... monaco ana point 5 benfica ana point 1... monaco akishnda anakuwa na 8 benfica akishinda anakuwa na 4 yaani hii ndio nyeusi kuliko ya zenith ...walau zenit anaprobability ya kushinda.....
 
Wakuu Mikeka Ya Leo Nimejilipua!Nimempa
Arsenal
Liverpool

Wa Pili
Zenit
Real Madrid
Arsenal
Juve
Na Atletico Madrid
Liwalo Na Liwe
 
ile ya kikapu tayari kapuni ...... kuna wachina wameanza nawasikilizia quarter hii..iishe.... hata head to head zao hawajawahi pungua 147.... naskzia hii quarter nione wastani wao....
 
Wakuu Mikeka Ya Leo Nimejilipua!Nimempa
Arsenal
Liverpool

Wa Pili
Zenit
Real Madrid
Arsenal
Juve
Na Atletico Madrid
Liwalo Na Liwe

wa pili uko poa liver utata.... madrid akishinda anapita mazima...usitegemee liver kuachwa...
 
jamani mechi ya Madrid na Liver goals ziwe 0-3 kapewa odds 2.01 hii game liver watakaba sana ila watafungwa tu, ila sio zaidiya 3, ebu wekeni mzigo kwenye hii option mpige pesa.
 
wakuu naomba muongozo wa zile handcap za meridian zipoje
 
Tunaendelea...hii quarter ya mwisho wanatakiwa wafungane 53 ili niliwe laaaa...nimekula tena.... haya kuna game ingineimeanza quarter ya 1 wana 51 tayari game inaendelea....wadau 5000 tayari ndani mdogo mdogo ....hii faida naibetia mechi za leo.....unaweza kuwa unazungusha tu humuhumu unaliwa huku unakula kule...
 
hapa ni mechi kwa ujumla..... sio timu nnayoitaja ..sawaaaasawaaaaa.......bournmouth ...derby ...watford....lincoln...ipswich...blackburn..reading....swindown..braintree.... atletico...basel...juve na benfica.... hizi mechi zote....kwa formula zote za over/under hizi mechi zinatoa 2+...... ukiweka wote hao 3000 ni 72...... unaemuogopa mtoe....ila nahakika zinatoa goli mbili......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…