maselaaa eenh kazi njema.....mi naacha rasmi hii kazi..... HAiwwzekani mwezi mzima unapotezwa kila siku na timu moja...... unachangia tu watu wanaoshinda........ ila ntakua napitapita humu...... kuchangia hoja na uchambuzi wenye bahati mle......
Umesahau jina lako kivipi?Wadau mbna nimeweka pesa meridian siioni kwenye account
Thn unatumia ile id au jina maana me nimesajili zamani thn nimesahau jina lakini id naikumbuka
Utaweza mkuu!
VOLENDAN
GUIMARES
EINDHOEN FC
SPEZIA
DUNDEE
MIDSTYLAND
RENNES..... wenye bahati mleee
No giving up untill, niwasababishe wajiulize why me kila siku. Big money only
tupia wa leo..... nijaribu nyota yako...
Hafu hii mikeka inabidi tuwe tunaiombea kila mtu kwa imani yake.
Hafu hili jukwaa halina madem? Ukute wanaweza kuongeza bahati humu.
Ni kweli wale viumbe sometimes wana bahati zao kusema ukweliHafu hii mikeka inabidi tuwe tunaiombea kila mtu kwa imani yake.
Hafu hili jukwaa halina madem? Ukute wanaweza kuongeza bahati humu.
hahahahaha umenichekesha sana mkuu, kumbe unaweza rudi..... kesho ntakuwekea mkeka wa pesa na wewe ufute machozi
tupia wa leo..... nijaribu nyota yako...
Ni kweli wale viumbe sometimes wana bahati zao kusema ukweli
Hafu hii mikeka inabidi tuwe tunaiombea kila mtu kwa imani yake.
Hafu hili jukwaa halina madem? Ukute wanaweza kuongeza bahati humu.
teh teh, miezi miwili iliyopita kuna mmoja alikuja humu sijui aliishia wapi...
hahahaha yupi huyo c.e.o, waliibuka wengi kidogo hapa katikati..,,