Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hawa kasimpasa nao hasara 2pu now dayz. Walikua wapo juu sana hadi nafasi ya pili kwenye ligi yao sasahivi taratibu wanaenda down
 
Poa mkuu ngoja niitwange!..
QUOTE=Kibanga Ampiga Mkoloni;8630049]piga 0762768500[/QUOTE]
 

So Far Chali Kampas kachafua Mbaya na vitesse hakuna matumaini.
 
Nataka kuweka wa akiba liver v arsenal draw
 
Leo voda anajihami ile mbayaa mechi mbili tuu result unknown
 
Nimejilipua liver draw.Za ushindi ni chelsea,bayern,fiorentina na aston villa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…