Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wadau mi kuna hii ishu ya fixed matches. Kuna mzungu wa albania alinirushia tip ila skutia maanan nkaweka 1000. Sasa kanipromise kunrushia nyingine alafu paymet after. Ikitick ntarejea na feedback

Inakuwaje hiyo mkuu
 
Wadau mi kuna hii ishu ya fixed matches. Kuna mzungu wa albania alinirushia tip ila skutia maanan nkaweka 1000. Sasa kanipromise kunrushia nyingine alafu paymet after. Ikitick ntarejea na feedback

meridian watakufungia account hahahah
 
Ndo maana wachezaji wanakatazwa kubet na kuna hatua kali tu za kisheria znachukuliwa ikigundulika hvyo....sasa wapo agents real na fake.
 
Wengi wanasema upay before utumiwe prediction. Huyu ninaemjarib unapay after....
 
Kizur kula na mwenzio...ndo nachofanya kaka....najarib kuchek kama ni reliable source.
 
Nije na proof kabisa...ntakuja na mail ya kabla ya match na screenshot ya ticket ntakayotoa pamoja na hela ntakayokuwa nmekula
 
Yaaani basketball inaonekana inapesa sana
Ila kwa tricks na ukiwa na mtaji mkubwa.....
 
basket inalipa..kwanza ina odds kubwa alafu probability ya kupata na kukosa ni 50%
 
Nije na proof kabisa...ntakuja na mail ya kabla ya match na screenshot ya ticket ntakayotoa pamoja na hela ntakayokuwa nmekula

fanya hivyo mkuu . haya makampuni yanatula ela kila siku kumbe wanayajua matokeo bwana. ndio maana kwenye haya makampuni ya betting ukiwa mfanyakazi wa pale hurusiwi kucheza .
 
fanya hivyo mkuu . haya makampuni yanatula ela kila siku kumbe wanayajua matokeo bwana. ndio maana kwenye haya makampuni ya betting ukiwa mfanyakazi wa pale hurusiwi kucheza .

Sio bongo
 
Back
Top Bottom