mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
aisee ni maafa 2 kwa kwenda mbele. Ila najua ataingia tu kwenye 18 zangu. Kwenye uefa hanaga ujanja atakamuliwa tu.
Jana nimepotea mbaya mkuu city, psv wameharibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee ni maafa 2 kwa kwenda mbele. Ila najua ataingia tu kwenye 18 zangu. Kwenye uefa hanaga ujanja atakamuliwa tu.
Barca uhakika kwangu
sevilla
parma uhakika kwangu
Hizi timu ndogo haziwezi kumaintain winning streak nna wasiwasi leo parma atachana mikeka
I hope unatania! Umefanya moyo wangu ushtuke, nishaweka 45 kwa barca
Leo m-bet inasumbua sana..
Nipe timu nirudishe mkwanja wa jana mkuu
Mbet inazingua kwan rahim unatumia nn
Hiyo hiyo kaka, asubuhi ilikuja kidogo kisha ndio ikapotea kabisa. Sasa sijui kaona nini au anataka kujihami tu.
Ukiona hivyo ujue leo pesa ipo anajihami mapema
Leo naona itakula kwa kanjibah, maana watu 2nahasira.