Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kama hii game itaisha kwa draw ya magoli
Nitakula mikeka yote miwili
Ila kama watafungana mmoja wao akashinda mimi nitapata faida ya zaidi ya 28000
Kwa 47000
 
Asante mkuu. nisamehe, sinto changia tena

ni best option kwa hao jamaaa.....ila kwa matokeo yao ya karibuni..... ni 50/50 wanaweza wasifike 2 au wanaweza kuvuka kabisa
WEST MATCHES
LOOSE 2-1 KWA PERTH
LOOSE 3-2 KWA SYDNEY
LOOSE 4-0 KWA MELBOURNE
LOOSE 1-0 KW ADELAIDE
LOOSE 1-0 KWA WELLINGTON
CENTRAL MARCHES
DRAW 2-2 NA MELBOURNE
LOOSE 3-2 NA ADELAIDE
LOOSE 2-0 NA SYDNEY
LOOSE 2-1 NA WELLINGTON
WIN 5-0 NA PALM BEACH

MECHI 4 AWAY WEST KAPIGWA ZOTE KAFUNGA 4 KARUHUSU 10 ...HOME NDIO MECHI YA 1 ..... CENTRAL KACHEZA 2 AWAY KADRAW MOJA KAFUNGWA 1 ..KAFUNGA 2 KARUHUSU 4.... CHEMSHA KICHWA..... HII OPTION YA 2-3 inaweza kuwa nzuri ila ni NGUMU....
 

mkuu nikweli ila hii game itatoa total goals ya 2-3, jamaa angetoa facts tu kama ww, ndo maana akaweka hapa ili watu wafanye analysis, sio kuponda ina discourage sana, tutashindwa weka tips, Mbona jamaa jana kaweka mechi mbili, Italy na England kaomba ushauri nikamwambia lazima apige pesa na kapiga kweli,I am totally disappointed.
 
Mi nshabet kama hiyo 47000 itapotea poa.... central coast hawawez fail ku score
 
nashukuru pia odd ya 4.5 ya uruguay ilikubali, mtaji wangu nami umerudi nilitupia laki2 kwa urugiuay tu nimepata laki 9

naiangalia kwa makini odd ya 4.65 ya algeria, nngoja nichungulie kikosi,

hahah pale bamako hawatoki algeria labda umpe double chance
 
Kubet GG only nimeona ni ujinga......
Sasa hebu tazameni hii tip yangu ya game ya saa 11:30 asubuhi...hii

gg ikitoka unafaida.....ila wasipotoa gg .... uwiiiiii..... nakuombea mkuuu mi nimewapa 2+.... gg ikitiki nami inatiki...ila nna mlolongo wa 2+ Ivory coast..ghana...nigeria...tunisia...saudia ...portsmouth...congo DR....algerie...na uganda...
 
gg ikitoka unafaida.....ila wasipotoa gg .... uwiiiiii..... nakuombea mkuuu mi nimewapa 2+.... gg ikitiki nami inatiki...ila nna mlolongo wa 2+ Ivory coast..ghana...nigeria...tunisia...saudia ...portsmouth...congo DR....algerie...na uganda...

Mimi hiyo mechi nimeipa 28+
 
wakuu habari za leo?Tip zangu za leo ni hizi hapa;
atletico pr,algeria,Gabon,burkina faso,dr congo,ghana,Tunisia,Senegal.Saudi arabia na CSD Municipal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…