Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
Wengi tulichojisahau ni kutengeneza mikeka kama vile timu zipo kwenye qualifying matches au world cup kumbe ni friendly tu
Kweli mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi tulichojisahau ni kutengeneza mikeka kama vile timu zipo kwenye qualifying matches au world cup kumbe ni friendly tu
wakuu ii optiona Half time Or End ikoje
IX*X au I2*2 au I1*1
Kama kuna anayeangali england kama mimi....na umemfungia dau refu..... Yaani panadol dawa za presha..za vidonda vya tumbo... Ikibidi aweke na bodaboda stand by kumpeleka hospital..... Mechi ngumu nyeusi.....
1X*X wa nyumbani yaani atoe sare kipindi cha kwanza au amalize sare...mfano...akamaliza sare kafungwa....basi kipindi cha pili atoe sare UMEKULA au atoe sare kipindi cha kwanza...hata akifungwa cha pili UMEKULA...issue ni itokee tu sare yeyote....iwe kipindi cha kwanza au cha pili au mechi nzima ...vivyo hivyo kwa 2X*X
UKIJA 11*1 au 12*2..... ni kuwa 11*1 wa nyumbani ashinde kipindi chochote akitoa sare cha kwanza basi ashinde cha pili UMEKULA...akifungwa cha kwanza cha pili anatakiwa kushinda UNAKULA na away hivyo hivyo.....
Huyo mess vipi tena!!hiyo game zanzibar na bara bonge la deby
Huyo mess vipi tena!!
Mh.. Atafunga nani sasa2nd half imeanza, ronaldo na messi out,
sijui wanataka fanya nini na kwenye hii match,
mvuto wa match umepungua hadi watazamaji wamepiga buuuuuhh
ngoja niswitch chanel kwa spain na german
Mh.. Atafunga nani sasa
Jioni hii!! Tumeliwa tenawataingia aguero na tevez a.k.a the caritosh Apache
haya wale wa england nyanyuen mikono juu
Argentina kachana mkekaUfaransa sub...kaingia benzema....tufunge swalaaa....
france walipotoa 1-1 na albania nikawashangaa, ndio maana leo siku wawazia kabisaa.Ufaransa sub...kaingia benzema....tufunge swalaaa....