Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
aisee hata mie nimeweka ya urithi, yani vitu vinagonga boxa vinarudi
Nyumba za urithi zimepona, nimepata mtaji wa kesho, mdosi jiandae.
CEO utanitumia namba yako PM nikurushie vocha kesho mapema ya bundle na kuongea!
Asante sana.
