Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

aisee hata mie nimeweka ya urithi, yani vitu vinagonga boxa vinarudi

Nyumba za urithi zimepona, nimepata mtaji wa kesho, mdosi jiandae.

CEO utanitumia namba yako PM nikurushie vocha kesho mapema ya bundle na kuongea!

Asante sana.
 
Hooooo thanks God nimerudisha hela yangu yote meridian walio nipig last week. Im happy now.
 
natazama mkeka wanfu 2+ niort creteile..auxer.3+ fulham...bangor...bala town ..crusaders..na reading....
dah nimekoseshwa pesa...... 3+ zimetoka zote.....bala town...crusaders ...reading...fulham....... kumamamazake mtandao.......
 
Watu washauaga umaskini huko
 

Attachments

  • 1416637847610.jpg
    1416637847610.jpg
    45.2 KB · Views: 115
dah nimekoseshwa pesa...... 3+ zimetoka zote.....bala town...crusaders ...reading...fulham....... kumamamazake mtandao.......

Leo Lebron James kanifanyia uchoko kinoma, mzigo niliopata niliugawa nusu nikautupia kwenye basket, nikapanga game 5, waliotibua ni kina Lebro peke yao, ambao sikutegemea kama wangenifanyia vile kwa kweli.

Nashukuru nimerudisha mtaji kwa Lakers, ila jamaa ni wakuda kinoma. James sitamsamehe maana mzigo alionikosesha ningekula weekend vizuri sana.
 
Leo Lebron James kanifanyia uchoko kinoma, mzigo niliopata niliugawa nusu nikautupia kwenye basket, nikapanga game 5, waliotibua ni kina Lebro peke yao, ambao sikutegemea kama wangenifanyia vile kwa kweli.

Nashukuru nimerudisha mtaji kwa Lakers, ila jamaa ni wakuda kinoma. James sitamsamehe maana mzigo alionikosesha ningekula weekend vizuri sana.

odds zilikuwa 32........ ....MZEEEE meridian haifunguki.....sites zingine zinafunguka meridian inaload inaishia kati.....dah......
 
odds zilikuwa 32........ ....MZEEEE meridian haifunguki.....sites zingine zinafunguka meridian inaload inaishia kati.....dah......

Mkuu pole sana, mimi hayo yananikutaga kila siku asubuhi nikiwa nacheza NBA, game zinazoanza saa 12:30 zikifika Q3 mtandao unazingua, afu unaachia baadae Q4 mwishoni, na hii ni kila siku.
 
Man City aliniharibia game na QPR, leo nampa tu liwalo na liwe.
 
Meridian watu wa ajab sana....nawapigia kuhusu payout wanakuambia subiri nakutumia hela hakuulizi hata code yako wala jina in short haulizi details yeyote....sasa sjui anaota tu we ni nan
 
Back
Top Bottom