Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Chelsea analaki yangu nimemkopesha sijui atanirudishia?.
 
Katika wote walioharibu, Chelsea sikumdhania.

Wadosi wananeemeka tu.
 
Faoda ya wikinzima kaia yeye..������
 
for the first time Leo nimefanya betting.nilibet game 5 nilitoa ushindi kwa Bayern Munich, shalke 04, csk Moscow, na bournemouth. na nikawapa swansea city na crystal palace sare. bond nikaweka book 3 nipate 37900. game 4 mikapatia nikapoteza 1. bournemouth vs Millwall dk ya 88 Millwall wakachomoa ....nimeanza vibaya
 
sunderland wabishi wakiwa nyumbani, na vilevile tusikariri kushnda chelsea kila gemu
 
Sporting cp na Madrid wamenipunguzia machungu,.mzungu nilizid kumzoea Sana nimempiga siku4 mfululizo Jana kaniotea mmkeka m1 katika mitatu..������
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…