Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

napendekeza watu humu tukutane tujuane, mnaonaje wadau ?
 
napendekeza watu humu tukutane tujuane, mnaonaje wadau ?

Mkuu wewe leo ndo nakuona unapost hala mara ya kwanza sasa inakuwaje utake tukutane?
Mi nadhani tuko poa hivi hivi
 
Mkuu wewe leo ndo nakuona unapost hala mara ya kwanza sasa inakuwaje utake tukutane?
Mi nadhani tuko poa hivi hivi

Atakuwa ametumwa na wale polisi waliomkamata mzee mwenzetu abour.
 
Last edited by a moderator:
mimi ni member wa siku mingi sema huwa msomaji tu.

abour tujuane wangu nitakupa msaada wa kisheria bure
 
Last edited by a moderator:
Wametuone bure tuu,.eti kiss mmniliki hana kibali wakatukusanya hadi wateja wake.
 
Wametuone bure tuu,.eti kiss mmniliki hana kibali wakatukusanya hadi wateja wake.

mmiliki na wafanyakaz wake ndio walitakiwa kukamatwa. waliweka ndani kabisa? ilikuwaje mkatoka ?
 
Leo nimekalia pabaya,,athletic Bilbao washanivuruga����
 
West ham wanaelekea kunifita machoz,.kaz ibaki kwa man u.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…