Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

daaaaaaah yan muhindi kachukua tena hela yake yooote niliyo pata juzi yan man utd kaharibu kila kituuuuu😞😞😞😞😞
 
daaaaaaah yan muhindi kachukua tena hela yake yooote niliyo pata juzi yan man utd kaharibu kila kituuuuu😞😞😞😞😞

Pole mkuu mi mwenyewe nimemrudishia mzungu dola 45 zote .
 
yaaan niltegemea chelsea ata nipa hata hela ya new year duuuh😞😞😞😞
 
Mm leo nmecheza kwa macho sio lazma tucheze kla siku.leo palikua peusi.
 
Dah hadi Man city jamani yaani mnaongoza mnapigwa, daaah bora Chelsea katoa draw. Ila leo nimepigwa za uso nyingi sana
Mwaka umeisha kwa kuliwa sana. New Year lazima niwale tena natafuta odds 10 tu za laki moja baaaasi
 
Dah hadi Man city jamani yaani mnaongoza mnapigwa, daaah bora Chelsea katoa draw. Ila leo nimepigwa za uso nyingi sana
Mwaka umeisha kwa kuliwa sana. New Year lazima niwale tena natafuta odds 10 tu za laki moja baaaasi
yan hiz tim kubwa zaki puuz sana...
 
yaaaaan hapa nasubir kubetia madrid,bayern munich pamoja na dortmund maana najua atarud mzima na atakua anaekewa odds nyingi pamoja na serie B ya italia.....hapo ndio patakua center pa ku betia kwangu naona england wana zingua sana
 
Man u - Ms-e-n-g-e- kweliiiiii.... Nilikuwa nimesha anza kupiga bajeti ya mwaka mpya. Nilikuwa napga laki 430.
 

Saa hizi ndo nafanya tathmini ya huu mkeka. Hela ilinipita hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…