Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Siamini mkuu.maana mkataba wao ni saa 24 wanalipa...na hata ukiwapigia hawaeleki wanasema kama imepita siku ya malipo haulipwi..ofisi zao ziko wapi niende huko huko..nimepoteza pesa yangu tu.

Kuna watu washawahi kutumiwa baada ya wiki moja, huwa inatokea mara moja moja.
 
Kuna watu washawahi kutumiwa baada ya wiki moja, huwa inatokea mara moja moja.

Aisee! Yaani mikeka mi 5 yote tiketi tofauti tofauti niliyoshinda hata mmoja wanashindwa kulipa hawana ela au afadhali wakupe sababu ya kufanya hivyo wapo kimya na hata simu yao hawapokei.
 
Mimi nipiga hiyo mi5
lakini hawajalopa m-bet niliweka sou(win)...tot(win)..hul(win)...n.k
lakini jamaa longo longo nyingi tu ...nilibet kawaida..kasirika
sana.wezi tu jamaa

pole sana mkuu, hawa jamaa wanalipa hawawezi kuacha kulipa japo sometime wanazingua kwa kauli zao.. mi ishakaa hadi siku 4
 
pole sana mkuu, hawa jamaa wanalipa hawawezi kuacha kulipa japo sometime wanazingua kwa kauli zao.. mi ishakaa hadi siku 4

Kauli za kuhuni huni tu..yaani wanakatisha tamaa mkuu.sijui kama watalipa...makao yapo wapi hivi?
 
M-bet hawalipi ela nishinda mechi za tarehe 1 mpaka sasa tarehe 3 hawajalipa jamaa longo longo alafu waswahili wengi mno kule

M BET PESA NILIYOSHINDA JANA WAMESHANILIPA NA KIUKWELI NIMEWAIBIA KIDOGO.game namba 9 ktk m bet ilikuwa ni far rabat v renaissance(league ya moroco) game ilianza saa 12 jioni na kufika saa 2 usiku game ikawa imeisha kwa suluu ya 0-0.kwenye m bet wakawa wameshaitoa but kwenye m bet web game wakawa wameibadilisha muda toka 1800 hrs mpaka 2155 nikasema ngoja nimpapase kidogo nikaweka elfu 10 kwa raf rabat sare,cardiff win na bala town win ticket ikaja ya 69666,NIKAANZA KUWASIKILIZIA HAO WENGINE.LEO WAMESHANITUMIA HYO PESA NA NIMETOA ELF 60 ILIYOBAK NIMEBET YOTE..BAHATI YAO SIKUWA NA PESA MNGEPATA MGAO WOTE HAPA JAMVINI
 

Mechi zangu za tarehe moja ndio hawajalipa jana nimeona upumbavu tu kubet nao maana hawalipi
 
Hv meridian vp mbona website yao ipo chini yani ukichelewa tu imekula kwako
 
Nyie mnaolalamika M-bet hawawatumii hela msitufanye sisi ni watoto wadogo tena mjiheshimu sana hivi unaweza kubet halafu useme heti niliweka tot win sou win na hull win n.k kweli??? Halafu pia mi naona humu kuna watu mnajifunza kubet kwa mbet na hamjui hata kidogo unakuta mtu unacheza halafu huwatumii hela za dau uliloweka kwenye menyu ya m bet halafu unasubiria hela , huu ni uchizi na ukenge tu mi nilishawala mara kibao tu na pesa ikiwa inaanzia 5000 mpaka 150000 kufikia saa 7 au mwisho saa 8 unatumiwa pesa yako na kama ni chini ya 5000 mpaka 1500 watakutumia saa 1 usiku hela inakuwa tayari ishaingia.

Halafu kitu kingine msitegemee matokeo yao heti mpaka waya update kwenye menu yao ndo mhakiki we ingia Soccer Live Scores - powered by LiveScore.com hakiki mech ya tiket yako then ukijua umebugi piga kimya ukijua ume win subiria mavumba yako sio unacheza handcap halafu timu zinatoka suluhu heti unalaumu , unalamu nini sasa JUST MSITUHARIBIE MAMBO KWA M-BET TUKAKOSA HELA ZA BURE KWA MANENO YENU YA UCHONGANISHI.

Mfano juzi nimebet
HAPOEL NS WIN
CARDIF WIN
MILTON K D W

Nikaingia net usiku nikachek nikakuta mambo yameharibika kwa MKD nikapiga kimya wala sikujal sana.
 
Leo naua vigogo

Man u loose
Southampthon loose
Aston villa loose
Barcelona draw
R. Madrid loose




Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
madrid win 1.49
barcelona win 1.32
benfica win 1.29
man utd win 1.22
southampton win 1.4
besiktas vs galatasary GG 1.82
aberdeen win 1.57
apollon win 1.57
aston villa win 1.36
barnet win 2.00

total odds 52.87828644

ukipenda unamuongeza na arsenal win odds zinakua 68
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…