Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
-
- #8,561
Naingia likizo
naenda kutafuta mahela.. nikirud kila siku natafuta 1.1 point natupia
hta 200,000 niingize 20,000 per day.
Kuhusu tips za Basketball NBA, hebu checkin hii site, nimejaribu kumfauatilia huyu jamaa anaonekana yuko fit.
Mtoto wa nzi rusha site zingine za Basketball, nakumbuka uliahidi kufanya hivyo ila majukumu yakakuzidi.
Tupia vitu hapa.
Link: Darko
NBA | Betting-tipster.com - Todays best beting tips
Leo naua vigogo
Man u loose
Southampthon loose
Aston villa loose
Barcelona draw
R. Madrid loose
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu hizi sites mbona hawana upcoming basket matches.? example za leo hii.
jaman kuna group nimelianzisha la wats up litakua linahusu uchambuz wa mech za kuweka katika mkeka kuanzia mpira wa miguu,kikapu ,hockey na tennis.
kwa hapa jamvin inakua ni nguma wadau kutiririka concept kwa sababu of privacy hivyo nawakaribisha nyote lakin hii ni kwa wale walio serious tu sio tunakuunga halafu we unakua inactive na kuwachora wadau wakitiririka ideas za pesa
ukihitaj kuungwa weka namba yako hapa ya wats up
qpr kachana mkeka wangu wa laki 8, yani kafungwa na timu ya leagu 2 jinga sana qprDuh Barca, Madrid, South, Qpr wameenda na wengi. Ungewapa wachache tu lose baasi leo ungeamka mwingine
tots win
psg win
odds 3.024
ndio biashara mpya niwe nafukuzia timu mbili tu kwa siku
Jamani leo nina 50,000
Nampa Totternham, Liver na PSG ikiliwa siji hapa jukwaani kwa wiki nzima
Nina 50 elfu.
Liverpool -shindwa
Tottenham-shindwa
Hama zangu,hama zake mhindi..!!Nishavurugika.
Dah inahitaji ujasiri