Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
- #8,561
Naingia likizo
naenda kutafuta mahela.. nikirud kila siku natafuta 1.1 point natupia
hta 200,000 niingize 20,000 per day.
hahaha ndugu baharia vipi yamekukuta leo ??? biashara imekua ngum sana na hapo bado game za mataifa ya afrika wiki mbili zijazo