Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

yaaani hizi timu za seria A sio kuanzia leo ntakuwa nazicheza pa1 kwenye mkeka wao...yaani mikeka mi4 tofauti wamenichania.
 
KABAKI VALLADOLID TU ..NKAFATE 43000 ..... bwana RAIMUNDO ..ANDYBIRD.... BIASHARA YANGU NI KUPATA 10000 KWA SIKU....BHAAAASI

Mimi nilianza na 20$ sasa nakaribia fika 236$ kwa online tu. Namsubiri Man city afunge tu
 
Mimi leo nataka 300$ tu zimebakia 64$. Naachana na biashar hadi jumamosi
 
mie nashukuru sana nishampiga tsh30,000/=fasta sampdoria win ,Genoa draw.
 
Jaman hv siri yakumpiga huyu muhindi n ipi maana mm kila niweka napigwa kila siku
 
hivi ukiacha meridian ipi nyingine nzuri ya online maana wao daily mtandao unazingua
 
Vipi kule iplay nataka nihamie kule,meridian wanazingua

iplay wapo vizuri ukijiunga unapata $8 bonus sijawahi kusumbuliwa na mtandao wao hata mara moja.

Basketball na hockey zote zipo.

Live play kama kawaida.

Lakini! wanahitaji ID yako yenye picha na tarehe ya kuzaliwa ili ukamilishe registration. wanataka wajue kama ni over 18.

Katika kuweka hela inabidi uwatumia jamaa EMAIL ya user ID yako ya iplay, namba ya simu na kiasi ulichoingiza..,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…