Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mali vs. Cameroon (goals 0 up to 2) odd 1.51
Cote D' Ivore vs. Guinea (goals 0 up to 2) odd 1.64
Aldershot vs. Kidderminster (goals 0 up to 2) odd 1.82

Hapo vipi wakuu???
 
Leo muhindi nimempa za uso mpaka nikamwonea huruma.. Hii mechi ya Houston Rockets naishia HT.. Tutakutana saa 12 kwa Lakers pamoja na Portland.. Hamieni Basketball jamani huko soccer muhindi atawala mpaka nywele haha
 
Leo muhindi nimempa za uso mpaka nikamwonea huruma.. Hii mechi ya Houston Rockets naishia HT.. Tutakutana saa 12 kwa Lakers pamoja na Portland.. Hamieni Basketball jamani huko soccer muhindi atawala mpaka nywele haha

Naomba muongozo wa kucheza basket basi boss
 
Naomba muongozo wa kucheza basket basi boss

Tatizo watu wa basketball ni wagumu sana kushare ujuzi. Mfano game za leo mtu anasema game za lei ni hizi na itakuwa hv au vile kulingana na uzoefu wake lkn utasikia tu leo nimempiga muhindi kwenye kikapu mbona watu wa mpira wanaweka tu hata game ambazo zipo zinachezwa on that time
 
M mapema kabisa ngoja nikajenge taifa mahesabu jioni
 

Attachments

  • 1421728028366.jpg
    27.3 KB · Views: 169
Kuna kipindi nilikuwa naweka tips za basket humu lakini hakukuwa na watu ambao wako interested, ikabidi nitulize.

Lakini kitu kingine ni kwamba mara nyingi basket inachezwa live, unaangalia upepo wa quarter moja au mbili unatia mzigo quarter au half inayofata!

Sasa hapa huwezi kupata muda wa kupost humu hiyo trend, kwa sababu inabadilika ndani ya sekunde 30 mpaka 60!Harafu kuna mtindo wa watu kuikuta thread iko page ya 400 na kuendelea, bila hata kupitia page za nyuma kuangalia nini kilijadiriwa wanaanza kulalamika.

Chukua muda wa kupitia page kadhaa kama 40 mpaka 100, hutakosa information; basket imeshajadiriwa sana humu. Tuache uvivu.
 

Nimekupata
 

jamani ...mjichoshe kidogo kusoma pages za hii thread..... tumeshatoa sana tips...sites na jinsi ya kucheza kikapu....kikapu sio soka.....upepo unachange mda wowote......
 
Naomba muongozo wa kucheza basket basi boss


Mkuu Madevu ukifuatilia huu uzi page kadhaa zilizopita utakuta watu wameelezea vizuri tu...

Danson sio kwamba watu wa basket ni wagumu ila basket ni mchezo wa kuconcentrate online huku pia ukifuatilia game live. Basket ina pesa kwenye U/O za quartets na pia kutabiri mshindi wa quarter..ili uweze kula ni lazima sasa ucheze online. Hakuna sehemu utakayokuta wamekwambia timu flani itashinda quarter 2 au 4.. Ni wewe mwenyewe kujiongeza na mahesabu madogomadogo. Pia hata mimi nilivutiwa kubet basket humuhumu na nilikua nalalamika watu hawaleti tips mpaka pale nilipoamua kujifunza mwenyewe ndio nilielewa kwanini hawaleti
 

Asante sana hii kazi ya kupitia uzi wote nitafanya j'mosi ili nipate uelewa juu ya huo mchezo
 
M mapema kabisa ngoja nikajenge taifa mahesabu jioni

Hiyo ya mali kwanene usiito
Na uumpe Iraq handcap ya 1.5 or 2.0
Na game ya lyon kwanene usitabiri mfungaji (locazet) or magoli badala ya final result na game ya club brugge kwanini usinge weka 1X&2+
Na.....
 
Bet football na utafanikiwa kama ipo ipo tuu usiwe muoga.....tumia akili na usiweke tamaa amini bahati yako ipo njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…