mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Dah jamani huu mchezo mimi naona hizi siku kama nimefeli. Yaani nimetoka 188$ hadi 1$
Dah ila sitaacha huu mchezo lazima siku moja nitawapiga nyingi sana.
Leo napo ni siku tusikate tamaa
Asante kaka, mimi ligi ikiisha tu naacha! Asante kwa ushauri.
Pole sana mkuu Mimi kwa upande wangu huu mwaka nimeanza vizuri kila week lazima nimfanyie kitu mbaya mhindii
kuna mtu katoa mpunga wiki hii kule meridian?
toka Jana asubuhi mpunga haujaja
Mkuu nielekeze,ukishatuma pesa kwa mpesa kwenda meridian what happens after that?
Manake sijui what is next...nataka nijitupe na mimi
Football imekua ngumu sana , now days nipo irk horse racing na weather forecast bettings
Hata mm mpk muda huu....
Ukishatuma subiri salio lako litaongezeka kwenye akaunti yako ya Meridian...then utaanza kubet...Meridian wana app yao kwenye play store.
Lakini si unaweza ku bet kwenye website?
And katika ku bet unatakiwa kubet masaa mangapi kabla ya mechi?
Mwenye namba za meridian
0754 303032
í-½í¸ƒí-½í¸€í-½í¸ƒí-½í¸€ vipi hapo
Anthen
Barcelona
Fiorentina
Psg
Monaco
5000
í-½í¸ƒí-½í¸€í-½í¸ƒí-½í¸€ vipi hapo
Anthen
Barcelona
Fiorentina
Psg
Monaco
5000