mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Dah jamani huu mchezo mimi naona hizi siku kama nimefeli. Yaani nimetoka 188$ hadi 1$
Dah ila sitaacha huu mchezo lazima siku moja nitawapiga nyingi sana.
Leo napo ni siku tusikate tamaa
Pole sana mkuu Mimi kwa upande wangu huu mwaka nimeanza vizuri kila week lazima nimfanyie kitu mbaya mhindii