Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Leo namweka leverkusen coz psg nyundo zao 2 hazipo, ibra kadabra na cavani
RCN captain cadabra yupo leo.[/QUOTE
Leo lazima muhindi alie
muhindi kafia mbali leo ....via barca ,psg, wigan na sbu 1000 kwa 63400
Daaah!!! Ayaaa nishampa psg alaf nmeweka city first half hakuna anaeongoza..
huo ndo mkeka wangu kwa normal niliweka buku jero. Uliwapa handcap kwani imekubali kote kote! Kanjibah namchinja siku ya 3 mfululizo.
Liwalo na liwe nampa asenal na milan.. Odds zao zimekaa vizur
Wadau hand cap za leo zipi hizo
Mpe arsenal anashinda, Ac milan anashinda pia,
Hawa mbet mbona hawalipi pesa zetu?
Mm huwa wananilipa mapema siku inayofuata...mpira golini pesa mfukoni.
Wamelipa za jana mi mbona bado?