Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Daah St ettiene wameniuaaa leoo jamni!!!aaagh!!!aisee sina ham naoo mbwaa hawaa!!!yaan wameanzaa vizur wamemalizaa utumboo wanadroo n mtu yupo nafas y 19 wao wapo 4!!!hawaa mbwaa mech ijay ni kuwauaa tu!!
 
huu vp kwa kesho wa dau
arsenal draw
chelsea lose
crystal palace win
man city win
 
Kuna huu wa moto.
Arsenal droo
Southampton win
Dijon win
Juventus vs Ac Milan droo
MainzO5 droo.
Jilipue upige punga la kutosha.
 
Kwa wale mnaopenda kubet dk 45 mkeka huu hapa:

1. Mk dons v bristol city- draw
2. Tottenham v Arsenal- draw
3. Everton v Liverpool- draw
4. A. Madrid v R. Madrid- draw.
Hizi game 3 hapo ni deby. Weka mpunga chota mzigo.

note dk 45 tu
 
Tunapoteza hela kirahisi kwa sababu ya kubet kimapenzi instead ya kufata statistics,

Muhindi atatufilisi sana kwa style hii ya kuweka mahaba, bora uache kubet la sivyo utalizwa daily
 
Kuna hata match ya juve na milan watu wanamdharau milan na kumuona kama timu dhaifu mbele ya juve ila anaweza chanachana mikeka ya watu leo.
Lig ya ufaransa na ujerumani njia nzuri ya kumla mhindi ni GOALS 0-3 JAPO ODDS NI CHACHE KWA WALE WENYE MITAJI ITAWAFAA SANA. Fuatilia kisha utanipa majibu
 
Tunapoteza hela kirahisi kwa sababu ya kubet kimapenzi instead ya kufata statistics,


Pia kimazoea,kwani lazima kubet EPL au soka peke?

Tuhamie hata ligi za nashariki huko, Vietnam, China,Denmark.


Pia tunataka buku ilete 500000,wakati unaweza tafuta odd 2 ukaweka msimbazi.

Timu chache na odds ndogo zina % Mkubwa ya kutoa,than timu nyingi na odd kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…