Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
- Thread starter
-
- #10,441
Acheni Mhindi aendelee kutajirika, huu ulikuwa ni bonge la mkeka!
Sikuona hata chembe ya wapi mkeka unaweza kuchanikia aisee, Chelsea! Man U! Barca! Wameushangaza uma wa mainvesta!
Ndo maana nimestaafu mpira kwa sababu hizi za maluwe luwe!
View attachment 228580
anirudishie 20 alizokula jana na juzi.......
Usiwe na hasira mkuu,, mbona barca kaua, juve na Roma walituua kwa sare, PSG na man u vp... Chelsea na mourhino hawana kosa mkuuLeo pia siku jamani.
Lazima siku moja na yeye atalia.
Ipswich, Chelsea hamfai katika hii dunia.
Kuanzia leo sitampa Chelsea win hata kama anacheza na timu ya mwisho na hiyo timu wako pungufu, siiiamini tena Chelsea.
Morinho mjinga kati ya watu wote duniani
nipe mwongozo kidogo boss kwa upande wa hockey nijaribu maana naona football inanifilisiWakuu tuingie vitani aisee.. Leo Nina mkeka wa wafungaji, na hockey... Siku ndo Leo kila la kheri
huu hapa umekaaje wazee wenzangu?