yakub yusuf
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 319
- 86
Umekaa vzr lkn mashaka yangu n kwa hawa walioshnda gol nying mech za kwanza wanaweza kuona wamemalza wakaleta upuuz
Zenit hana shida?
Tushauriane na huu wazee maana sasa hali sio nzuri
Umejikita wapi mkuu...tih tih.... nipo likizi ya bila malipoWazee mnanitamanisha kurudi kwenye soccer! Maana mko vizuri kinoma!
Mzigo huoView attachment 229836
Vipi hii staili wazee inafaa?
View attachment 229841
Mzgo huo,Naandaa mwengne kutokana na hii mlio iweka wadau nautupia mda c mrf kwaajl ya ukaguz