Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
norwich anafanywa vibaya hapa...napigwa 20000 ......mama mae......
aaaah mamaeee hata leooooo?[/Q
norwich anafanywa vibaya hapa...napigwa 20000 ......mama mae......
Namna gani pale Celtic.
ntaKuwa mchoro wa fadhila nsposhkuru..jna mhindi kala za uso...nlivoona meridian amenipuna kanibakisha kuelkea kufilisika nkatafta elf kumi ya kuungaunga nikatia game za epl tu pke yake nkasema meridian waniache leo nkahamia mbet. iverpool,man u.,man city,chelsea,arsenal na kuongezea bathelona.....kitu hichoooo dkika 90 Ashley young anamalizia kufuma mkeka..wireeeeeee....nahisi nna kismati na mnet maana mara mwisho kueka ela nyingi pia ilikua na mbet na nilimpiga za uso....wadau siku njema
Wakuu nimeamka safi. Jana mwindi nimemtusua ingawa siyo nyingi.
Shukrani ziwaendee
1. Barcelona
2. Liverpool
3. Beyern
4. Wolfsburg
5. Man city
6. Monchgladbach
7. Aseno
Hongera mkuu hvyo ndio tunavyo taka co klacku tuumie ce tu yy acheke
Kubet ni kitu rahisi lakini kushinda sio rahisi
Duh! Hatimae m-bet nimewakamata ,wamekula ka buku nne kangu jana kamerudi.Vipi mbona hawatumi mzigo niendeleze game?
ntaKuwa mchoro wa fadhila nsposhkuru..jna mhindi kala za uso...nlivoona meridian amenipuna kanibakisha kuelkea kufilisika nkatafta elf kumi ya kuungaunga nikatia game za epl tu pke yake nkasema meridian waniache leo nkahamia mbet. iverpool,man u.,man city,chelsea,arsenal na kuongezea bathelona.....kitu hichoooo dkika 90 Ashley young anamalizia kufuma mkeka..wireeeeeee....nahisi nna kismati na mnet maana mara mwisho kueka ela nyingi pia ilikua na mbet na nilimpiga za uso....wadau siku njema