Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu Naomba mnieleweshe hand cap za meridian huwa sielewi... Zipo option nyingi nielekezeni Tafadhali

H home A away

-1.0 H1 ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

-1.5 H1 home ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

-2.0 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

-2.5 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

System iko ivooo kwa -3.0 -3.5 -4.0 kuendelea

Tunakuja upande wa away team....away team inakuwa haina (-) inakuwa ni (+)= [(1)namba yenyewe] ikitambulika kama (H2)

1.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

1.5 H2 away ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

2.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

2.5 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

3.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 4+
Akishinda kwa tofauti ya goli 3 pesa inarudi odds 1.0
Akishinda kwa tofaut ya chini ya 3+ umeliwa

Nadhani tumeelewana
 
Mkuu jana mchana kulikuwa na game za Philippino, zote zilienda over!

Wanapumzika mpaka tar 11 March, kuna timu ambazo ni uhakika kuvuka lengo, mi nazisubiri kwa hamu sana.

Raimundo umeona mzigo alioweka 50 cent kwa myweather?? kaweka zaidi ya bilion 2 za kibongo
 
Last edited by a moderator:
H home A away

-1.0 H1 ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

-1.5 H1 home ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

-2.0 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

-2.5 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

System iko ivooo kwa -3.0 -3.5 -4.0 kuendelea

Tunakuja upande wa away team....away team inakuwa haina (-) inakuwa ni (+)= [(1)namba yenyewe] ikitambulika kama (H2)

1.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

1.5 H2 away ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

2.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

2.5 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

3.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 4+
Akishinda kwa tofauti ya goli 3 pesa inarudi odds 1.0
Akishinda kwa tofaut ya chini ya 3+ umeliwa

Nadhani tumeelewana

You are one of the useful resources man! Hebu nipe mrejesho jana ulipiga kwa ile tip?
 
Meridian wangese likwelikwe nimetoa pesa kwa njia ya mpesa toka juzi hadi Leo haijaingia ipo kwenye mabano alaf nawapigia wanaleta poziii HV makao yao makuu yapo WAP?
 
hahaha mizigo mirefu inaleta stress, we si umeona jamaa wa uganda kamdhamini arsenal ikala kwake akaamua kujinyonga

Ukiwa na mil 40-30 ndani kwa ajili ya hii biashara unaweza kucheza. Otherwise tupige zetu mikeka tu hii ya buku 10 10.
 
WapAmBaNaJi lEoo mNaWeKajEeeee. Mimi nInA Dola 50 Nimeweka Iplay8 naoMbeni mniPe timu mBili tu Za UhaKikA leo?

asNteni sanA WapamBanaJi#
 
H home A away

-1.0 H1 ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

-1.5 H1 home ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

-2.0 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

-2.5 H1 home ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

System iko ivooo kwa -3.0 -3.5 -4.0 kuendelea

Tunakuja upande wa away team....away team inakuwa haina (-) inakuwa ni (+)= [(1)namba yenyewe] ikitambulika kama (H2)

1.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli mbili+ akishinda kwa tofauti ya goli 1 money back

1.5 H2 away ashinde tofaut ya goli 2+ akishinda kwa tofauti ya moja umeliwa

2.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 3+ akishinda kwa tofaut ya goli 2 pesa inarudishwa odds 1.0 lakini akishisha chini ya tofauti ya hizo goli mbili unakuwa umeliwa

2.5 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli tatu+ akishinda chini ya hapo unakuwa umeliwa

3.0 H2 away ashinde kwa tofaut ya goli 4+
Akishinda kwa tofauti ya goli 3 pesa inarudi odds 1.0
Akishinda kwa tofaut ya chini ya 3+ umeliwa

Nadhani tumeelewana

Tumeelewana... Na vipi hizi option za redcard, yellow card, na corners... Wanaposema mfano H4 wanamaanisha ni jumla kwa timu zote au moja!?
 
Wadau vp mpk mda huu kumepooza humu jana yalkuwa maumivu nn leo mmeamua kupumzka??Hebu tuingie kazn kuliwa kawaida tu
 
Jamani wadau vipi mbona kimya sana nina 20,000/= hapa jamani naomba uchambuzi wa mikeka yakinifu wapi mtoto wa nzi yaliyopita si ndwele hata leo siku halafu imekaa poa au mida bado?
 
Bayern-1st half 2+
Wolfsburg-2
Moenchegladblach-2
Celtic-1
L'pool-1
Arsenal-2

Mkeka huo naandaa wa odds mbili 2 halafu naweka mzigo, nitauweka hapa nikiandaa.

Gudluck
 
Back
Top Bottom