Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Ni heri kuweka ijumaa hadi ya jumapili!!
Asubuhi ulikua Poa tu
Wengine tunacheza live hasa kwenye kikapu na siku za weekend ambapo umepumzika kazi ndo mtandao unazingua.
Hata hivyo wamerekebisha kiasi.