Ni heri kuweka ijumaa hadi ya jumapili!!
Asubuhi ulikua Poa tu
mkuu nimepata hasira sana jioni kila nikibet kuna maandishi yanatokea closed halafu timu zinajifuta, timu zote nilizoandaa zimetoa hivyo nimekosa laki 5 hivihiviMeridian kila nikiweka mkeka timu zinajifuta!!!
Huyu Locomotov Moscow ni mshenzo kuliko watu wote duniani.
Bristol nae mmmmmh
Maombi yanaendelea kwa Juventus na Man City.
Alichonifanya locomotov hata sitaki kuaminiHuyu Locomotov Moscow ni mshenzo kuliko watu wote duniani.
Bristol nae mmmmmh
dah Mkuu tunaendelea kuuombea mkeka ktk jina la mwenyez Mungu lazma utusue
Ngoja maombi yaelekee kwa man city sasa maana naona juve kashmaliza kazMpaka halftime Man City hakijaeleweka, nashukuru kwa maombi mkuu, ukiona mkeka umejibu tu nirushie namba PM upate supu au mchemsho.
Ngoja maombi yaelekee kwa man city sasa maana naona juve kashmaliza kaz
Cityyyyyyy
City ni moja ya timu zilisababisha niache kubet soccer alivyo draw na QPR, leo ananirudia! Duh!