. lazima uweke pesa yanguvu upate pesa nzuri.Betting Zone
Saturday 08.03.2014
Win:
Barcelona
Bayern munich
Chelsea
Sunday 09.03.2014
Win:
Real Madrid
Ajax
Tuesday 11.03.2014
Win:
Bayern munich
Atletico Madrid
In this world nothing is certain than Tax and Death.
bet Man United,Southampton and Man City. big money...
Hata Psg,barca,bayern,chelsea...weka Cap zote..
Jamani huu mchezo ni hatari kwa afya ya familia na mchezaji,mi nimeacha kabisa kwa waungwana wote naomba tuache kabisa.
CITY imeharibu kila kitu ndio mwisho wakucheza huu mchezo hehehe.Juve.espanyol,shelfied,hulcity,mancity,madrid,almeria,parma,atalanta,... Mikeka kama mi3
Kweli huu mchezo haufai City kagaragazwa.bet Man United,Southampton and Man City. big money... Nimebakisha City ila huu mchezo kweli haufai sawa na mlevi kichwa kikimuuma anasema basi ila Keesho bar utamuona tena.
Naona na leo msiba kama Jana, City chana chana Mkeka.
Kweli huu mchezo haufai City kagaragazwa.
Oyoooo leo nimemvua nguo kanjbh kudadk kesho mapema kuchkua mpunga wangu,thnx wigan
Iplay 8 cassino mbona inazingua.? Page yenye mikeka haifunguki kwangu toka jana jioni, inaishia katika welcome page, ukiclick sports betting inakuja page blank. Ni mimi tuu ama sote ni hali hiyo..