Sasa hapo inategemea na falsafa ya kocha pamoja na interests za club
.kwa mfano kama Napoli chini ya Benitez wako more focused on Europa league
..wenyewe hata wasipochukua kikombe cha serie A kwao poa tu ili mradi waingie europa
kwa big 4's wa England wenyewe ni EPL na EUEFA
.Tukienda Germany icho kikombe chao kina heshima kubwa huwezi kufananisha na hako ka Capital 1 cup
.Ndo mana hata Dortmund kwenye ligi ameanza vibaya but mcheki kwenye icho kikombe kazi atakayofanya
.Haya akina Barca kule hakuna kuremba,,,,,,Ukicheza vibaya huchukui kikombe hata kimoja msimu mzima
.watu wana ushindani mpaka nje ya uwanja
ya kina Messi na Ronaldo si una yajua?