Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 102
kwenye multbet kwa mfano ukiweka timu 20 then ukaweka ile 10/20 INA maana ukipatia timu kumi kati ya 20 umeshinda?
na zinachaguliwa timu zipi sasa?
Aaah...kumbe Deo nawewe unauliza!!sikuona hiyo qn mark vizuri nkataka kushangilia sasa namfilisi muhindi...ila sidhani kama inaweza kuwa ivyo na akifanya ivyo tunamfilisi.