abour
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 735
- 309
View attachment 226365
mechi za leo nyeusi nyeusi..... ngoja niwajaribu hivi
pole buraza,..mi naskilizia bado
Alshabab wanahelayangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 226365
mechi za leo nyeusi nyeusi..... ngoja niwajaribu hivi
pesa hii
I see mimi naomba msaada jana nilibet kati ya METZ V STADE BRESTOIS 29
Nilibet 3...1 yaani metz ashinde lakin kashinda (4..3) kwa penalty AFTER 9OMIN
Je hapa METZ ANAHESABIKA KASHINDA?
Nenda kwenye meridianbet shop yoyote weka pesa kwenye account yako.Baada ya hapo kwenye mtandao fungua www.meridianbet.co.tz, ikishafunguka utatakiwa kulog in kwa kutumia email na password yako uliyotumia kufungulia account.Ukisha log in itakuletea match kibao.Nadhani jinsi ya kubet unafahamu.kwa mfano zikishakuja hizo mechi itakuwa na option ya win, draw win (kwa maana ya H na A) ukichagua home team win yenyewe itaenda kwenye bet ticket utaiona tu inakuja kwa juu kulia.Ukitaka option nyingine hapo chini ya majina ya timu kuna other bet click hapo.Nadhani utakuwa umenielewa kidogo
Msaada jamani
Hii web imekuwa hacked au tatizo nini?
mbona haifunguki?
Nimepoteza code yangu ya malipo.Kweli inashida kwasasa,haifunguki
Mimi sijuwi lolote kuhusu betting. Naomba nifundishwe! Kuna kipindi nilikua nacheza ile ya mbwa na nilikua napata pesa nzuri tu! Nifundisheni na mimi nivune hukoo......
Mpira ni dakika 90+zile chache za nyongeza. Extra time haihusiki.
mkuu habari za asubuhi aisee!
samahani bwana, hivi wewe maximum betting teams kwa m bet huwa unaweka ngapi?
nataka kujifunza kutoka kwa experienced people..
Dau pia huwa unapanga kulingana na odds ngapi?
Naomba funzo hapo!
cc Uduvi n Deo Corleone
halftime/fulltime maarufu kama NGUMU KUMEZA ipo hivi 1(1/1) team mwenyeji aongoze kipindi cha kwanza hadi kipindi cha pili mechi inaisha mwenyeji anashnda.... 2(1/x) team mwenyej anaongoza kipind cha kwanza tu ikifika kipind cha pili team ya ugenin inasawazisha na mechi inaisha kwa sare... 3(1/2) team mwenyeji anaongoza first half halafu kipind cha pili team ya ugenin itasawazisha na kushinda mechi..... 4(x/1) kipindi cha kwanza droo kipind cha pili team mwenyej anashnda..! 5(x/x) kipindi cha kwanza droo na kipindi cha pili droo mech inaisha sare... 6(x/2) kipind cha kwanza sare kipind cha pili team ya ugenin inashndaa.....! 7(2/1) team ya ugenin itaongoza first half halaf kipnd ch pil team mwenyej anasawazsha na kushnda mech.. 8(2/x) team y ugenin itaongoz first half kipind ch pil4 team mwenyej anasawazsha mech inaisha sare.. 9(2/2) team ya ugenin kuongoza mwanzo mwishooo
halftime/fulltime maarufu kama NGUMU KUMEZA ipo hivi 1(1/1) team mwenyeji aongoze kipindi cha kwanza hadi kipindi cha pili mechi inaisha mwenyeji anashnda.... 2(1/x) team mwenyej anaongoza kipind cha kwanza tu ikifika kipind cha pili team ya ugenin inasawazisha na mechi inaisha kwa sare... 3(1/2) team mwenyeji anaongoza first half halafu kipind cha pili team ya ugenin itasawazisha na kushinda mechi..... 4(x/1) kipindi cha kwanza droo kipind cha pili team mwenyej anashnda..! 5(x/x) kipindi cha kwanza droo na kipindi cha pili droo mech inaisha sare... 6(x/2) kipind cha kwanza sare kipind cha pili team ya ugenin inashndaa.....! 7(2/1) team ya ugenin itaongoza first half halaf kipnd ch pil team mwenyej anasawazsha na kushnda mech.. 8(2/x) team y ugenin itaongoz first half kipind ch pil4 team mwenyej anasawazsha mech inaisha sare.. 9(2/2) team ya ugenin kuongoza mwanzo mwishooo