Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

mkuu yakub umeongea la maana, hiyo ligi inaongoza kwa droo, yani mtu ungekua na uhakika wa mechi ipi itatoa droo kiukweli kweli unabet hata mbili tu maana droo nayo kupata ni mtihani..
 
Last edited by a moderator:
mkuu yakub umeongea la maana, hiyo ligi inaongoza kwa droo, yani mtu ungekua na uhakika wa mechi ipi itatoa droo kiukweli kweli unabet hata mbili tu maana droo nayo kupata ni mtihani..

Kwel mkuu ukpata uhakka wa drow mbil tu unaweka hata 5000 unatoka vzr.Ngoja tusubr wataalam wata funguka zaid
 
Last edited by a moderator:
ImageUploadedByJamiiForums1423815600.169990.jpgImageUploadedByJamiiForums1423815626.443224.jpghebu tuchambue kwenye hz nlzo jarbu kuzchek hapa
 
mkuu yakub umeongea la maana, hiyo ligi inaongoza kwa droo, yani mtu ungekua na uhakika wa mechi ipi itatoa droo kiukweli kweli unabet hata mbili tu maana droo nayo kupata ni mtihani..

Pia ni league nzuri kwa wale wanaopenda kuBet kwenye kipengere cha "Suluhu ya first half" yaani 45.
 
Last edited by a moderator:
leo wadau vipi hii
MARSEILLE WIN
FC PORTO WIN
FC OSS WIN
FC VOLENDAM WIN
FC EIDHOVEN WIN
BORUSIO DORTMUND WIN ODDS 5.11 IPI NIITOE?
 
Jana ashababu pekeyao ndowaharibu shughuli,..walidraw 2-2😓😓
 

Attachments

  • wp_ss_20150213_0004.png
    wp_ss_20150213_0004.png
    10.3 KB · Views: 99
  • wp_ss_20150213_0003.png
    wp_ss_20150213_0003.png
    12.5 KB · Views: 102
Dortmund loose 7,97
AZ Alkaamar win 4.06
Hibernian win 3.27
Potential win 211622
HIYO IMEKAAJE WANAJAMVI
 
Haya asali hyo
EXACT SCORE
dortmund vs mainz ( 2-1)
Marseile vs reims. (2-1)
Porto vs guimares. (4-0)
Odds - 891
Tupia hata 100
 
Unachagua vile upundavyo ww,.meridian inafanya unachotaka.
 
Back
Top Bottom