Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

ImageUploadedByJamiiForums1425015307.837563.jpg
Hapa wameua hao Zenet na Psv wamepigiana kona 15 kwa jumla zote Zenet7 Psv8
 
ImageUploadedByJamiiForums1425015681.206623.jpg
Kwa mwendo huu nnavyo uona natumain kbs cku c nying mzungu ataingia tu mikonon mwa PANYA ROAD ntakwala kila kitu.
 
Baada ya hayo bila kupoteza muda naingia tena kazn kwa cku nyengne tena naanza kutengeneza mikeka ya leo mana kunawale vijana wa Franc wazee wa drow na gg ngoja niingie mzgon
 
Handcap ya baskball n km kwenye soka tu sema wenyewe point huwa nying mfano ukikuta (-5.5H) hii inamaana wa nyumban anadaiwa hzo gol kwahyo ushndi wake n gep ya gol6 na kuendelea.

Ngoma imebuma, imeenda mpaka Overtime lakini Phoenix Suns wamekomaa na kushinda game!

Ilibidi niipandie kwa Over ilikulinda hata nusu ya mtaji!

Tukutane kesho tena Alfajiri NBA.

Nitaweka tip hapa!
Mtoto wa nzi game ya Cavs vs GSW imeekuwa under, game ya OKC vs Suns Over!
 
Last edited by a moderator:
Ngoma imebuma, imeenda mpaka Overtime lakini Phoenix Suns wamekomaa na kushinda game!

Ilibidi niipandie kwa Over ilikulinda hata nusu ya mtaji!

Tukutane kesho tena Alfajiri NBA.

Nitaweka tip hapa!
Mtoto wa nzi game ya Cavs vs GSW imeekuwa under, game ya OKC vs Suns Over!
Nazisubiri kwa hamu sana hizo tip kaka. Maana nataka niwe multi bettor kuliko kutegemea sehemu moja tuu.
 
Last edited by a moderator:
Ngoma imebuma, imeenda mpaka Overtime lakini Phoenix Suns wamekomaa na kushinda game!

Ilibidi niipandie kwa Over ilikulinda hata nusu ya mtaji!

Tukutane kesho tena Alfajiri NBA.

Nitaweka tip hapa!
Mtoto wa nzi game ya Cavs vs GSW imeekuwa under, game ya OKC vs Suns Over!
Majinga sana first quarter wamefungana 40... nkajuaa aaargh ningepiga mzigo ...duh...mara 61...mara 63...duh.... ya mwisho 48.... wakatoa droo 109-109.... nimeicheki...
 
Majinga sana first quarter wamefungana 40... nkajuaa aaargh ningepiga mzigo ...duh...mara 61...mara 63...duh.... ya mwisho 48.... wakatoa droo 109-109.... nimeicheki...

Hafu usisahau kitu kimoja, siku hizi ukisema Under inahusisha hadi Overtime! Kwa hiyo wangetoka labda 105 - 105 bado ni loss, maana wangehesabu na zile za overtime.
 
ImageUploadedByJamiiForums1425026561.464563.jpgImageUploadedByJamiiForums1425026576.336340.jpgImageUploadedByJamiiForums1425026600.222570.jpg
Haya ss mcje kusema ooo hatujaona mzgo ndio huo chambua na ww kadri utakavyo ona inafaa
 
Inter kashinda kaka
Alishinda kwa mbinde sana hadi nikamkatia tamaa, pamoja nae kushinda lakini kuna wapuuzi wengine Athletic bilbao na olympiakos wamenifaya vibaya. ila ZAIDI NINAVYO LIWA, ZAIDI NAENDELEA KUWA SUGU NA FUNDI. KUNA SIKU MZUNGU ATAKAA TU.
 
Jamani hongereni na poleni kama mimi vipi jamani mawazo kuhusu leo turudishe mtaji. Tupieni mawazo tupembue mikeka.
 
Back
Top Bottom