Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani niombeeni...nahitaji iyo draw ya Atletico niue.
 

Attachments

  • 1425850963848.jpg
    1425850963848.jpg
    41.5 KB · Views: 210
halftime/fulltime maarufu kama NGUMU KUMEZA ipo hivi 1(1/1) team mwenyeji aongoze kipindi cha kwanza hadi kipindi cha pili mechi inaisha mwenyeji anashnda.... 2(1/x) team mwenyej anaongoza kipind cha kwanza tu ikifika kipind cha pili team ya ugenin inasawazisha na mechi inaisha kwa sare... 3(1/2) team mwenyeji anaongoza first half halafu kipind cha pili team ya ugenin itasawazisha na kushinda mechi..... 4(x/1) kipindi cha kwanza droo kipind cha pili team mwenyej anashnda..! 5(x/x) kipindi cha kwanza droo na kipindi cha pili droo mech inaisha sare... 6(x/2) kipind cha kwanza sare kipind cha pili team ya ugenin inashndaa.....! 7(2/1) team ya ugenin itaongoza first half halaf kipnd ch pil team mwenyej anasawazsha na kushnda mech.. 8(2/x) team y ugenin itaongoz first half kipind ch pil4 team mwenyej anasawazsha mech inaisha sare.. 9(2/2) team ya ugenin kuongoza mwanzo mwishooo

Nimekuelewa sana hapa, na nadhani hapo ndo patanikosesha hela maake mm nilikuwa najua tofauti, nimepiga 7 kumbe sio
 
Back
Top Bottom