Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

IMG_9426.jpeg
 
Mimi Pia Mikeka 2 West Ham Kaharibu sijui kwanini daaaa [emoji2297][emoji2297]
Huyu mtu akiwa away ndo shida yake hiyo, ata home tu huwa anapewa 1x ndo anajitahidi tena akiwa anacheza na washika mkia, kwa kina city na Liverpool havuki
 
Nazingua nini mkuu? Kuna makosa gani nafanya hapa?
Habari kiongozi kazi zako telegram ziko vizuri sana ila ningeomba uweke timu chache za uhakika zaidi kuliko over 10 match unakuta hakosekani mmoja wa kuchana nashukuru wa basketball [emoji459] nilikua team chache zimetiki
Screenshot_2024-01-17-09-03-25-28.jpg
 
Habari kiongozi kazi zako telegram ziko vizuri sana ila ningeomba uweke timu chache za uhakika zaidi kuliko over 10 match unakuta hakosekani mmoja wa kuchana nashukuru wa basketball [emoji459] nilikua team chache zimetikiView attachment 2874244
Sawa mkuu. Nimepokea kwa mikono miwili ushauri huu mzuri. Leo tunaendelea mkuu.
 
Back
Top Bottom