2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hatumuelewi Mr Pipa,,,,, ila kwa sasa timu ya taifa inatumika kimkakati,,,,,Yaani mie nikishaona timu ya Taifa wanasiasa ndo wanakuwa wasemaji wa timu huwa kimoyomoyo najisemea tumekwisha, huwa tunawapa hope wachezaji na wananchi kiasi kwamba watu wanafikiria kuweza kucheza hata na Brazil kumbe hakuna kitu
Mmh,,,, kuna mtu kaingia kwenye rada za mwenzake huko alichofanywa dahGUINEA BISSAU
FT X
CS FT 1-1/2-2
Kumbe ndo maana dah 😭😭😭Predictions zako kila siku naziangalia tu leo nimejaribu kuifata hii kwa single bet, ngoja tuone itakavyokua
Mkeka wa Mwana FA huo,,,,,, ameuzia sura tuDooh!
game imetoa goli 6. Haya ni maajabu Afcon kutoa goal nyingi kiasu hichi. Afcon ya mwaka huu ni nomaEqutorial Guinea Vs Guinea Bissau Imetoa GG mapema san kulikua na odd 2.5
Noma sanaUtatoa mlio ww. Jana umeona boom nyingi unazishobokea[emoji23][emoji23][emoji23].. leo mapema zimeanza kulipuka hizo. Kuna correct score imeishia 2-0 sio 00 tena
Hongera mkuu hii addiction sio kabisaaSio kwa nia mbaya ila nimefanikiwa pakubwa kujizuia kubet kama mwanzo nilivyokuwa nikifanya, tangu Desemba tarehe za mwanzoni mpaka leo nimebet mara moja tuu tena jana. Next time ni kufuta app ya kubet
1-1 mpaka sasa na mpira ni dakika 90Huyu galatasaray hiki kikosi alichopanga leo tunatoboa kweli.?