Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Jana pia sikupost mikeka humu nimekula mikeka 6 na kukosa 3 lakini ilikuwa ni odds kati ya 10 na 28 tu ...sijui kwanini nikipost humu jf napata mikosi ya lose [emoji856] hiyo mikeka yote 9 nilichezea sh 2800 tu nimevuna sh 45000View attachment 2925760