Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Habari ya majukumu wakamalia poleni na majukumu ya kuendelea kumsaka kanjibai..tupo pamoja maafisa ubashiri ninaomba mwongozo jamani namna ya kuweka hela kwenye APP ya 888staz msaada tafadhali kwa mwenye kujuwa anipe mwongozo.......
 
Habari ya majukumu wakamalia poleni na majukumu ya kuendelea kumsaka kanjibai..tupo pamoja maafisa ubashiri ninaomba mwongozo jamani namna ya kuweka hela kwenye APP ya 888staz msaada tafadhali kwa mwenye kujuwa anipe mwongozo.......
Tumia wakala
 
Wazee wa 1xbet tangazo hilo mnaemtumia huyo mdau
 

Attachments

  • 20240321_161023.jpg
    20240321_161023.jpg
    374.4 KB · Views: 10
Cape Verde anacheza na timu ambayo kwenye Ramani ya dunia ya mpira haipo, alafu inashindwa kutoa 1.5 over na kabaki yeye
 
Back
Top Bottom