Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu naombeni mnisaidie jinsi ya kutoa hela kutoka selcom kampuni ni helabet maan nimefanikiwa kuitoa kwenye account msaada please
 
Sportybet
Hii ndio option nayoweka kambi kuanzia leo


CCF841

Weka kuanzia 5000[emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385]

Kuna mikeka hata ikichanika haiumi sana kama ile unampa man city atoe magoli mawili tena single bet na umeweka 200k na mashoga man shit wanashinda kigoli emu tu(1-0)
Sasa hivi nimeacha kustake high kuna kaupepo nakapisha kwanza
 
Ukifungua app yako au website ya PARIPESA, kuna menu ipo Chini, utaona Neno betslip, bonyeza neno betslip, Likifunguka neno betslip itakuja menu nyingine ambayo mwishoni kuna neno load betslip, Ukibonyeza litakuja Neno enter betslip code, ingiza Hizo code hapo, na utauona Mkeka.
Ahsante sana nimefanikiwa
 
mkuu msaada jinsi ya kutoa pesa kutoka selcom upande wa helabet maana nimeshatoa kweny account
Fungua app ya Helabet, utaona kuna neno limeandikwa MENU lipo Chini upande wa kulia, Ukibonyeza utafunguka ukurasa mwingine, utaona kuna icon ya setting ipo mkono wa kulia juu kwenye kona. Bonyeza hilo neno, utakuja ukurasa wa ambao utaona kuna neno withdraw. Bonyeza hilo neno, itakuja njia mbalimbali za ku withdraw. Chagua njia uliyo Jisajilia wewe
 
Nifundisheni kubet😓
Tupe number ya Ndugu zako au mmeo

Ili ukifa au kizimia tujie pa kukupeleka
Baada ya utani huo 🤣🤣🤣🤣


Tuambie kwanza umri wako na shughuli unayofanya,Ili tukushauri kwanza Ubet au uangalie Maisha Yako kwanza

Ukiingia humu kama teja tu mlaunga,sasa kama hauna resources za kipato aisee utauza kila kitu.

Ni jukwaa Zuri ila Ingia kwa usajili,kuna watu weekends hizi wanaishi kwa mateso makubwa mnooo,yaani kama huna pesa unaweza kuuza chochote unaona utajiri upo nje nje kwenye Mechi za weekends,ikifika Jtatu sura inahamia kuwa ya Marehem Bibi

Karibu ,ukijipanga na kujipangia budget ranges na iwe monitored basi ni sahihi
 
-u2rx9m.jpg

Odds 18 Kwenye PariPesa 🔥🔥

Booking Code: L1CQB

Huna Akaunti Ya PariPesa?

Jisajili Hapa 👉 https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: TIPS2424

Bonus Ya Asilimia 200 Ukiweka Promo Code TIPS2424 Wakati Unajiunga.
 
Sportybet
Hii ndio option nayoweka kambi kuanzia leo


CCF841

Weka kuanzia 5000[emoji385][emoji385][emoji385][emoji385][emoji385]

Kuna mikeka hata ikichanika haiumi sana kama ile unampa man city atoe magoli mawili tena single bet na umeweka 200k na mashoga man shit wanashinda kigoli emu tu(1-0)
Hela ndo hii sasa, Dude limenyooka. Ukichana ni mipango ya shetani.
 
Back
Top Bottom