Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani muda wote and pumuliwaHongera sana Mkuu
Mi naamka asubuhi nakuta balance imenona
Ila Aseno mwamba kabisa katuokoa maana Man U hajapiga kona hata moja kudadeki utadhani alikua amepaki basi😂
Shtuka🤣🤣🤣 mtego huoMbona sjawah kukaona kakiruka odds nyingi hvyo
Kumbe corner zinatoa ngoja. Nijalibu kuchagua timu 20 niweke pesaAiseee Asante Sana niliifata 10.5conner na imetoa
Basi kama ni mtego wametuweka wote Sportpesa wanaturisha matango poli Mimi pia nimetoa kwenye kurasa yao ya Sportpesa watajua wenyeweShtuka🤣🤣🤣 mtego huo
Wamenichania wao tu tena ilikua mechi ya mwisho na nilipitiwa usingizi nikijua spurs hawezi kosa goli moja, nashtuka mechi imeishaSpurs ni wangese sana
We acha tu mkuu. Kuna wakati matokeo ya mpira yanakuwa ya kikuma kuliko kawaida. Alichonifanya FERENCOVOROS jana sitakuja kumuweka kwenye mkeka wangu milele.Alaaniwe spurs nilimuomba goli moja tu imeshindikana wakati anatoaga hadi 4+goals
Haya yamenikuta juzi,nikamuamin frankfurt apate japo goli moja,nikagoma kucashout nikisubir goli lakin wapi halikutokea,pamoja na kuongoza kumiliki mpiraWamenichania wao tu tena ilikua mechi ya mwisho na nilipitiwa usingizi nikijua spurs hawezi kosa goli moja, nashtuka mechi imeisha
Nini hiki mkuu? Kigezo gani kimetumika kuchagua hizi timu?View attachment 3170266
Wazee wa kuweka mizigo tunazid kuwekewa minyama,tushindwe wenyewe
Mbona sio Simba wala YangaView attachment 3170266
Wazee wa kuweka mizigo tunazid kuwekewa minyama,tushindwe wenyewe