Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Paripesa ni matapeli, niliwahi kushinda laki na 20 nyokochinyoko mpaka nikaamua kuachana na Kubet kupitia matapeli

Nikiona mtu anabet kupitia paripesa masikitiko makubwa sana
 
Yani hela yako mwenyewe lakini kuipata mpaka utume EMAIL kama unaomba hela za wastaafu
Watu wanaingia mkenge na ile utapeli wa “DEPOSIT NA UPATE BONUS 300,000 BUREE” 😂

Ukisha deposit unakuta na masharti ya Bonus ambayo ni next to impossible
Na bado ukila hela hadi uanze kutuma email utadhani unaomba mkopo😤
 
Nimeshatuma email....kimya .......mambo ya hovyo sana....
Mashkaji ishu ya kuprocess withdrawal wanazingua sana. Juzi ilibidi niwacheki kwa email wanisaidie kudisable 2 way authentication ilikuwa inaleta mizinguo. Ila kwa siku za kazi withdraw inaenda kama kawa labda kwasababu ni sikukuu leo.

Ila usijeacha hela yako kule, we fuatilia tu hakikisha kabla ya Jumamosi wamekutumia.

Email yako isiwe na mbwembwe ni: Player ID, transaction ID, Time, Amount. Wakazie
 
Mkuu sorry hawa melbet nimeona deposit kwa tigo hamna ila ipo easy pesa....si naweza tumia iyo kma tigo..?
Hapana mkuu. Lazima ufungue akaunti ya Easy halafu ndipo utaweza Kudeposit na kuwithdraw kama wanavyo fanya Astropay
 
-wry65i.jpg

Code>>> CAQP7

Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 300,000 Ukijiunga Na Kudeposit.

Betia PariPesa Hapa ⬇️

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code👉 TIPS2424
 
View attachment 3189789
BASKETBALL CHINA ON MELBET🏀

Code >>> 861N7

Jisajili Melbet Hapa ⬇️

https://mlbt.cc/40coprj

https://mlbt.cc/40coprj

Tumia Promo Code 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒 Upate Bonus Ya 200000 Ya Kubetia Leo Hii.
-21pm5i.jpg

FIRST BOOOOMMMM IN 2025 ✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅🔥🔥💰💰✅✅✅✅✅✅✅✅

850K IN 😎✅✅✅✅✅✅✅✅

Jisajili Melbet Hapa Chini Ili Kuanza Kushinda Nasi ⬇️

https://mlbt.cc/40coprj

https://mlbt.cc/40coprj

Promo Code👉 TIPS2424
 
Saiv bora udeal na magoli tu ni hizo over/under mpaka kieleweke ukienda mazima ni msala
Mkuu kweli lig zinaenda Mwishoni kwahiyo ukiweka over lazima zitoe kwasababu tumu zinajilipua kuto kushuka daraja na zingine zinasaka top 4 na zingine zinasaka nafasi za kucheza Europe leagu kwahiyo lazima kila timu inafunguka.
 
Wakuu naomba kueleweshwa kwanini mechi imeisha lakini kwenye mkeka mechi zaidi ya mbili kumeandikwa not available
 

Attachments

  • Screenshot_20250101-175256~2.png
    Screenshot_20250101-175256~2.png
    155.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom