Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

888STARZ📶📌

Promo Code 888starz weka BUZA
IMG-20250110-WA0041.jpg


Sehemu ya Promo code Jaza BUZA
💰💰
 
Wadau za januari tulivu… Mimi kama jokeri wa kubeti leo naona kabisa TP Mazembe akishinda, na kwa maono hayo hayawezi pita hivi hivi hivyo basi nimeamua niweke dau la 1M fedha za kiTanzania kwenye keka langu ambayo malipo yake ni zaidi ya mil 10 after Tax. Wenye ndoto kama mimi ruksa kutia dau

View attachment 3197539
Weka chuma tatu
 
Amini!, Amini ! Nawaambieni!.... hii mechi hapa chini👇 👇👇kabla jogoo hajawika mara tatu! ... Kuna jinsia ya kike humu ndani...
1000017231.jpg
itaiomba goli tatu!

Na wote watakaowekeza...watapata mara 3 walichokiomba!

Kama ni kilio..mara tatu!
Kama ni mavuno...mara tatu! 👇👇👇
 
Huyu Monaco huyu vipi? Mbona anataka kuharibu furaha mapema hivi?
 
Back
Top Bottom